Mwanafunzi chuo Kikuu ajinyonga kwa Kukosa Ada - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Thursday, June 8

Mwanafunzi chuo Kikuu ajinyonga kwa Kukosa Ada



Mwanafunzi huyo Fredrick Kinyanjui, 22,wa Chuo Kikuu huko Shauri Moyo, Jijini Nairobi amejiua baada ya kupita wiki mbili tangu arudishwe nyumbani kwa kukosa ada.

Mwanafunzi huyo  alikuwa mwaka wa pili katika Chuo cha Multimedia, alikutwa akiwa amejinyonga kwenye paa la nyumba yao jana jioni.

Mkuu wa Polisi wa Kituo cha Buruburu DCI, Jeremiah Ikiao alisema kuwa, wachunguzi wamebaini mwanafunzi huyo alirudishwa nyumbani siku 14 zilizopita kwa kukosa ada.

DCI Ikiao amesema mama wa Kinyanjui alikuwa ameenda kazini wakati mwanafunzi huyo alipochukua uamuzi wa kujinyonga.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here