NA ANAEL JAMES WAZIRITALL
Klabu ya Machester United imezipiku klabu tajiri Duniani ikiwemo Real Madrid na FC Barcelona katika thamani ya kikosi .
Mashetani wekundu hao wa Old Trafford wamepanda juu baada ya kuwachukua wachezaji watatu katika dirisha la usajiri kwa bei za juu ikiwemo kwa Paul Pogba aliyevunja rekodi ya Usajiri wengine ni Winga tereza Henrikh Mikhitaryan na Eric Bailly na kwa jumla ya kikosi kizima kupatikiana pauni milioni 628 ambazo ni thamani ya jumla ya kikosi kizima cha United.
Thamani hiyo ya juu zaidi inawafanya' RED DEVILS' hao kuwa na kikosi ghali zaidi kwenye historia ya soka wakizipiku Real Madrid(552) na Barcelona(532)
THAMANI YA VIKOSI VYA LIGI KUU ENGLAND (pauni milioni)
1.MANCHESTER UNITED-628
2.MANCHESTER CITY-532
3.CHELSEA-419
4.ARSENAL-332
5.LIVERPOOL-310
6.TOTTHENHAM-239
7.EVERTON-184
8.WESTHAM-171
9.SOUTHAMPTON-158
10.CRYSTAL PALACE-131
11.LEICESTER CITY-113
12.STOKE CITY-104
13.SUNDERLAND-91
14.SWANSEA CITY-83
15.BOURNEMOUTH-83
16.WATFORD-81
17.HULL CITY-75
18.WEST BROM-70
19.MIDDLESBROUGH-54
20.BURNLEY-48
Thursday, October 6
Home
Unlabelled
MANCHESTER UNITED YAZIPIGA CHINI REAL MADRID NA FC BARCELONA
MANCHESTER UNITED YAZIPIGA CHINI REAL MADRID NA FC BARCELONA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment