MRATIBU WA TAS SHINYANGA ATOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU UALBINO - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Saturday, November 26

MRATIBU WA TAS SHINYANGA ATOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU UALBINO


Na Anael James




Jamii imeombwa kuwashirikisha watu wenye ualbino katika shughuli mbalimbali za kijamii zitakazowawezwesha kujikwamu kiuchumi ili kuondokana na kuwepo na tabaka kati ya watu wenye ualbino

Hayo yamebainishwa na mratibu wa chama cha watu wenye ualbino mkoa wa Shinyanga LAZARO ANAEL  jana tarehe 25 mwezi huu wa Novemba wakati akizungumza na wasikilizaji wa Redio Faraja katika viwanja vya ofisi ya mtendaji kata ya Chibe wilaya ya Shinyanga.



Na vilevile aliuthibitishia umma kuwa ualbino upo kila sehemu ambapo kuna wanyama wenye ualbino wakiweno mamba,mimea,twiga,farasi NK





Amesema Zaidi kuwa jamii inapaswa kuwashirikisha watu wenye ualbino katika shughuli mbalimbali za kiujamii ikiwemo ujasiliamali ili kuwawezesha kujikwamua kiuchumi,.



Lakini kwa upande wake mtendaji wa kata ya CHIBE ameitaka jamii kushirikiana  na watu wenye ulemavu wa ngozi albino katika shughuli mbalimbali za kijamii



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here