Jaji mmoja Mwandamizi nchini humo amethibitisha kufukuzwa kazi kwa majaji hao ambao mbali ya kudai maslahi bora walitaka pia kufukuzwa kazi kwa Jaji Mkuu Chan Reech.
Kwa mujibu ya Eye Radio, Rais Salva Kiir, alitoa taarifa ya kuwafuta kazi majaji hao bila kutoa sababu .Hata hivyo majaji waliofukuzwa kazi hawakutajwa majina yao kwa hofu ya usalama wao binafsi
No comments:
Post a Comment