Chelsea 1 West Bromwich Albion 0
Manchester United 1 Tottenham Hotspur 0
Southampton 1 Middlesbrough 10
Liverpool 2 West Ham United 2
Makosa
ya Makipa hii Leo yameifanya Mechi ya EPL, Ligi Kuu England,
iliyochezwa Anfield kati ya Liverpool na West Ham United imalizike kwa
Sare ya 2-2 ambayo imewakwamua West Ham kutoka zile Timu 3 za mwisho
mkiani huku Liverpool ikiwa Nafasi ya 3.
Liverpool
walitangulia kufunga kwa Bao la Dakika ya 5 la Adam Lallana na West Ham
kujibu kwa Frikiki ya Dakika ya 27 Dimitri Payet na kupiga Bao la Pili
Dakika ya 39 upitia Michail Antonio.
Kosa
kubwa la Kipa wa West Ham Darren Randolph kutema Krosi iliyomfikia
Divock Origi aliefunga kilaini katika Dakika ya 48 na kuwapa Sare
Liverpool.
LIGI KUU ENGLAND
Ratiba:
Saa za afrika mashariki
Jumanne Desemba 13
2245 Bournemouth v Leicester City
2245 Everton v Arsenal
Jumatano Desemba 14
2245 Middlesbrough v Liverpool
2245 Sunderland v Chelsea
2240 West Ham United v Burnley
2300 Crystal Palace v Manchester United
2300 Manchester City v Watford
2300 Stoke City v Southampton
2300 Tottenham Hotspur v Hull City
2300 West Bromwich Albion v Swansea City
No comments:
Post a Comment