Mtandao wa Facebook umesema umeanzisha upelelezi kukabiliana na akaunti feki za watumiaji.
![]() |
mwanzilishi wa facebook Mark Zuckerbeg |
Facebook wamekuwa wakilalamikiwa kwa kushindwa kuchukua hatua juu ya wale wanaoghushi habari kwa kutumia akaunti hizo ikiwemo mtu mmoja aliyewahi kudanganya kuwepo kwa mwizi aliyekuwa na silaha ya moto katika mgahawa mmoja mjini Washington taarifa ambazo hazikuwa na ukweli wowote.
Inasemekana kuwa baadhi ya watu hutumia pia akaunti feki kuweka habari kwenye facebook ili wapate watizamaji wengi na hivyo kuongeza fedha.
No comments:
Post a Comment