Baada ya kikosi cha Yanga kuwasili jana visiwani Zanzibar, leo Janury
1 kimefanya mazoezi kwenye uwanja wa Kianga kujiandaa na mashindano ya
Mapinduzi Cup yaliyoanza rasmi December 30.
Yanga itacheza mchezo wake wa kwanza wa Mapinduzi Cup kesho dhidi ya Jamhuri saa 2:15 usiku.
Leo zitachezwa mechi mbili, mchezo wa kwanza ni kati ya KVZ vs URA
utakaochezwa saa 10:00 jioni huku mchezo unaosubiriwa kwa hamu ni kati
ya Simba vs Taifa Jang’ombe ambao utaanza majira ya saa 2:15 usiku.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment