Na Anael James Waziri_Tall
De Rossi alitolewa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa wa waliofungw amabao 3-1 na Ufaransa Alhamisi iliyopita na alitarajiwa kufanyiwa vipimo zaidi leo ili kujua ukubwa wa tatizo linalomkabili.
Katika taarifa yake klabu hiyo ya Serie A imedai itaendelea kufuatilia kwa karibu hali ya nyota huyo itakavyokuwa. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 33 ameichezea Italia mechi 107 na kufunga mabao 18.
No comments:
Post a Comment