NA ANAEL JAMES WAZIRI_TALL
Mabingwa wa Afrika mashariki Azam FC wamepata mchezaji mpya Enock Atta Agyei kutoka nchini Ghana mwenye uwezo wa kucheza nafasi ya kiungo na pia katika ushambuliaji.
Nyota huyo aliye katika Timu ya Taifa chini ya miaka 17 nchini Ghana
Azam FC wamekubaliana na mchezaji huyo kwa kuwa wameridhika na uweko wake tangu alivyotua katika uwanja wao wa Azam Complex jijini Dar es salaam.
Mbali na hapo kuna baadhi ya wachezaji wapo katika majaribio na muda wowote watasaini kukipiga katika timu hiyo ya Azam FC.
Lengo la kufanya hivyo ni kuwafurahisha mashabiki wa timu yetu na kujiweka katika sehemu nzuri ya ubingwa (Ulisema uongozi wa Azam FC).
Saturday, November 12
Home
Unlabelled
AZAM YAPATA JEMBE JIPYAA,ASAINI KUITUMIKIA
AZAM YAPATA JEMBE JIPYAA,ASAINI KUITUMIKIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment