Kiungo
Muzamiru Yassin amekuwa mwanasoka bora wa klabu ya Simba kwa mwezi Oktoba.
Pamoja na kumkabidhi
tuzo hiyo, Omog pia alitoa mkwanja taslimu Sh 500,000 kwa mchezaji huyo ikiwa
ni sehemu ya zawadi iliyotolewa na uongozi wa klabu ya Simba kwa kushirikiana
na Kampuni ya AMG ambayo hufanya zoezi hilo.
No comments:
Post a Comment