SIMBA TAYARI WAMEMPATA MRITHI WA MKUDE NAYE NI KUTOKA GHANA,HABARI ZOTE HAPA - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Tuesday, December 6

SIMBA TAYARI WAMEMPATA MRITHI WA MKUDE NAYE NI KUTOKA GHANA,HABARI ZOTE HAPA


                 Image result for SIMBA SCKiongozi mmoja wa Simba, amesema hawana nia mbaya au ugomvi na nahodha wao, Jonas Mkude.












Lakini ulichoshwa na namns alivyoamua kuchukua uamuzi wa kuwakimbia kama sehemu ya kuwakomoa.



Tayari Simba iko katika mazungumzo ya mwisho ya kumsajili kiungo kinda aitwaye James Kotei raia wa Ghana.



Taarifa za awali, zilieleza Mkude alihitaji Sh milioni 80 wakati Simba ilianzia Sh milioni 50, mwisho ikakomea kwenye milioni 60 na yeye akaona hazitoshi, akazima simu.



Hata hivyo, awali pia Mkude alihojiwa na kusema aliamua kuzima simu baada ya baadhi ya ndugu kuanza kumsumbua baada ya kuzikia alishapewa fedha za usajili baada ya kiongozi mmoja wa Simba kusema wamemalizana, jambo ambalo halikuwa sahihi.



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here