WAGHANA WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE KUPIGA KURA - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Wednesday, December 7

WAGHANA WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE KUPIGA KURA



NA SALUM ABOUD.

WAGHANA WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE KUPIGA KURA.

Mamia ya watu nchini Ghana wamejitokeza kwa wingi kwenye upigaji kura uliofanyika leo katika kuchagua wabunge na maraisi nchini humo
.
Viongozi mbalimbali wamesifu hatua hiyo ya muuitikio wa wananchi kuaamua kwenda kwa wingi kupiga kura.

Aidha wachambuzi mbalimbali ndani na nje ya nchi wamesema kuwa uchaguzi huo utakuwa wa ushindani mkubwa kwani nchi hiyo imekuwa ikikumbwa na balaa kubwa la rushwa na kushuka kwa uchumi.

Kumeshuhudia ghasia mbalimbali kuelekea katika uchaguzi huo mkuuu lakini ushindani mkubwa umeonekana  kati ya Raisi John Mahama na Kiongozi wa upinzani muda mrefu Nana Akufo Addo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here