Anna Mghwira kuapishwa Asubuhi hii kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Tuesday, June 6

Anna Mghwira kuapishwa Asubuhi hii kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro


 Kwa Mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi ya Mawasiliano Ikulu Gerson Msigwa kupitia ukurasa wake wa Twitter inaeleza hivi "Mhe. Rais Magufuli atamuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mteule - Anna Mghwira leo Juni 6, 2017 saa 3:30 asubuhi hii Ikulu Dsm
#HapaKaziTu"

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here