Mufti wa Tanzania, Shehe Abubakary Zuberi Ally
Mufti, Aboubakar Zubeir Bin Ally ametoa kauli hiyo jana jioni kufuatia taarifa kupitia mitandao ya kijamii zilizozagaa na kusema kuwa sikukuu ya Idd el-Fitr itakuwa siku ya Jumatatu.
Mufti amesema hilo halijatangazwa na kufafanua kwamba Mufti ndiye mwenye mamlaka ya kutangaza baada ya kushauriana na kamati ya mwezi.



No comments:
Post a Comment