Tanzia: Balozi huyu Afariki Dunia - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Monday, June 5

Tanzia: Balozi huyu Afariki Dunia



Mkuu wa Itifaki mstaafu Balozi Cisco Mtiro amefariki dunia katika Hospitali ya Aga Khan  jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Cisco Mtiro alikuwa Balozi wa Tanzania nchi za Malaysia, Phillipines, Cambodia, Singapore na Laos.

Kwa mujibu wa familia yake, msiba upo nyumbani kwa marehemu Mikocheni B jijini Dar es salaam ambapo aratibu za mazishi zinaendelea na taarifa zitatolewa mara tu zitapokamilika.

Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi – AMINA

Tupia Comment Yako, Matusi Hapana

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here