Ndege hiyo aina ya Cessn ilikuwa imewabeba maripoa wawili na mpiga pich mmoja kutoka kituo cha ruminga ya Citizen ambao walikuwa wanaelekea kuchukua habari za muungano wa Upinzani Nasa katika eneo la Baringo.
Waandishi hao na wafanyikazi wa ndege hiyo wamepelekwa katika hospitali ya nairobi na wanadaiwa kuwa katika hali nzuri .
Gazeti hilo linasema kuwa kamanda wa polisi wa kitengo cha anagni Rodgers Mbithi alithibitisha ajali hiyo.



No comments:
Post a Comment