Maelfu wajitokeza kupiga kura Catalonia - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Sunday, October 1

Maelfu wajitokeza kupiga kura Catalonia




Mamia ya watu wameanza kukusanyika katika vituo vya kupigia kura huko Catalonia nchini Uhispania mapema leo Jumapili ili kupiga kura ya kujitenga iliyopigwa marufuku na Madrid, kwa mujibu wa waandishi wa habari wa AFP katika eneo hilo.

Katika miji ya Barcelona, pamoja na Girona, ngome ya rais waCatalonia Carles Puigdemont, watu wanasema wamejitokeza mapema kabla ya aalfajiri ili kulinda vituo vya kupigia kura na kutetea haki yao ya kupiga kura, ili kuzuia jaribio la serikali kuu kuzuia uchaguzi usifanyike.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here