Na Anael
James Waziri_Tall
Golikipa
namba moja wa Manchester City aliyejiunga na klabu hiyo msimu huu akitokea FC
Barcelona ya Hispania Claudio Bravo Septemba 19 ameweka wazi kilichomuondoa FC
Barcelona na kuamua kujiunga na Man City pamoja na kuweka wazi uhusiano wake na
golikipa mwenzake Ter Stegen .
Bravo
amezungumza kilichomuondoa FC Barcelona na kuamua kujiunga na Man City,
kutokana na kutotaka kusaini mkataba mwingine FC Barcelona halafu aishie kukaa
benchi, ni kweli uwepo wa Ter Stegen umemfanya aondoke FC Barcelona lakini sio
kweli kama walikuwa na ugomvi na kipa huyo kama ambavyo inadaiwa na baadhi ya
watu.
Kama utakuwa
unakumbuka vizuri Claudio Bravo alijiunga na
Man City katika dirisha kubwa la usajili la majira ya joto mwaka huu 2016 na kurithi nafasi ya Joe Hart ambaye kocha
Pep Guardiola aliamua kumtoa kwa mkopo kwenda katika klabu ya Torino ya Italia .
Man City katika dirisha kubwa la usajili la majira ya joto mwaka huu 2016 na kurithi nafasi ya Joe Hart ambaye kocha
Pep Guardiola aliamua kumtoa kwa mkopo kwenda katika klabu ya Torino ya Italia .
No comments:
Post a Comment