DIEGO SIMEONE AMPIKU ZIDANE - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Thursday, September 8

DIEGO SIMEONE AMPIKU ZIDANE

Na Anael James Waziri_Tall
 
 
Makocha Zinedine Zidane na Diego Simeone wanaongoza kwenye jura za makocha wenye heshima kubwa kwenye La Liga nchini Hispania.


Makocha hao, wamepata jura nyingi zaidi kupitia mtandao katika shindano linaloendeshwa na kampuni kubwa katika mawasiliano na upigaji jura kwenye mitandao ya Comunicar es ganar, maarufu kama wasiliana na ushinde.


Simeone anaongoza kwa kuwa na asilimia  78.6 kati ya 100 na Zidane anafuatia akiwa na 74.3.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here