Na Anael James Waziri_Tall
Kocha wa Uswizi Vladimir Petkoviv amemuunga mkono kiungo wa ARSENAL Granit Xhaka baada ya kutolewa nje katika mchezo walioshinda goli 2-0 dhidi ya Mabingwa wa Ulaya Ureno jana Usiku.
Xhaka mwenye umri wa miaka 23 alitolewa nje ya uwanja katika dakika ya 90 baada ya kuzawadiwa kadi ya pili ya manjano katika mchezo huo wa kuwania kufuzu michuano ya kombe la Dunia 2018.
Nyota huyo sasa anatarajia kukaa nje katika mchezo ujao dhidi ya Hungury Oktoba 7,lakini anaweza kurejea katika mchezo dhidi ya Andorra siku tatu baadae.
Akihojiwa Petkovic amesema kuwa kadi hizo mbili zilikuwa nyepesi hivyo hakustahili kupewa kiungo huyo.
Thursday, September 8
Home
Unlabelled
XHAKA APATA SHAVU KWA KOCHA WA USWIZI
XHAKA APATA SHAVU KWA KOCHA WA USWIZI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment