Na Anael James Waziri_Tall
MSHAMBULIAJI
nyota wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku amedai aliikacha Juventus ili
aendelee kubakia Everton.
Chelsea
waliripotiwa kutaka kumsajili tena nyota huyo ambaye walimuuza mwaka 2014 huku
Juventus nao ikitajwa kama timu nyingine ambayo angeweza kwenda.
Pamoja na
kukosa michuano ya Ulaya kwa kubaki Everton, Lukaku mwenye umri wa miaka 23
anadhani ulikuwa uamuzi sahihi kubakia kwasababu ilikuwa mapema mno kwake
kwenda Serie A.
No comments:
Post a Comment