Na Babu Ally
Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambae amefunga ndoa wiki iliyopita na mfanya biashara Chidi Mapenzi amefunguka na kusema jinsi walivyokutana na mpenzi wake huyo.
Shamsa ford anasema kuwa siri ya mahusiano aijuae ni Mungu kwani yeye
alikuwa anapita karibu kila siku kwenye duka la nguo la Chidi Mapenzi
tena bila hata kusalimia kumbe huyo mtu ambaye anampita kila siku ndiye
mume aliyeandaliwa na Mungu.
"Kiukweli siri ya mahusiano aijuae ni Mungu. Nilikuwa napita tu ofisini
kwako tena bila hata salamu, nakumbuka siku niliyokuwa nakula karibu na
ofisi yako kwa bahati mbaya chakula kilinimwagikia kwenye nguo na
ikanibidi niingie ofisini kwako ili niweze kununua nguo mpya. Daa kumbe
Mungu alikuwa ananikutanisha na mume wangu kipenzi jamani. Asante Mungu
kwa mume bora uliyenipa. Muda wa Mungu ndiyo muda sahihi"alisema Shamsa
Ford
Monday, September 5
Home
Unlabelled
Shamsa Ford aeleza jinsi walivyokutana na mpenzi wake Chidi Mapenzi
Shamsa Ford aeleza jinsi walivyokutana na mpenzi wake Chidi Mapenzi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment