Klabu ya Ujerumani ya Borussia Dortmund imesema kuwa
mwanariadha wa mbio fupi kutoka Jamaica Usain Bolt atashiriki mazoezi na klabu
hiyo kwa siku chache.
Bolt amekuwa akisema kwamba angependa kucheza soka baada ya
kustaafu katika riadha.
Lakini wakimkaribisha, maafisa wa klabu hiyo wamesema kuwa
hakuna hakiksho kwamba mwanariadha huyo ataichezea klabu hiyo katika siku za
usoni.
No comments:
Post a Comment