Na Mustafa Ismail
Kenya
Mamia ya watu wamekusanyika eneo la
Freedom Corner katika Uwanja wa Uhuru Park, katikati mwa jiji la
Nairobi, kuandamana kulalamikia wanachosema ni ongezeko la visa vya
ufisadi serikalini.
baadhi wa waandamani wakiwa wamebeba mabango mbalimbali |
baadhi ya waandamanaji wakiwa maejifunga minyororo |
Wanaharakati walioandaa maandamano ya leo wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta achukue hatua la sivyo ajiuzulu.
Polisi wametumia mabomu ya machozi na maji ya kuwasha kuwatawanya.
polisi wakiwatawanya waandamanaji kutumnia mabomu ya machozi |
No comments:
Post a Comment