MABINGWA
Watetezi Yanga Jumatano wako Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
kucheza na Ndanda FC katika Mechi ya VPL, Ligi Kuu Vodacom.
Mechi
hiyo itawafanya Yanga, ambao wako Nafasi ya Pili wakiwa Pointi 4 nyuma
ya Vinara Simba, kusaka ushindi ili kulikata pengo hilo baada ya Wiki
iliyopita kuzimwaga Pointi 2 kwa suluhu na African Lyon.
Hivi sasa Ndanda FC wapo Nafasi za chini wakiwa Pointi 18 nyuma ya Yanga.
Mechi nyingine Jumatano ni kati ya Mtibwa Sugar na Majimaji FC huko Manungu, Morogoro.
Alhamisi
pia zipo mechi 2 na moja ipo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kati
ya Ruvu Shooting na Simba na nyingine ni pia Jijini Dar es Salaam huko
Azam Complex kati ya Azam FC na Tanzania Prisons.
Jumatano Desemba 28
Yanga v Ndanda FC [Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam]
Mtibwa Sugar v Majimaji FC [Manungu, Manungu]
Alhamisi Desemba 29
Ruvu Shooting v Simba [Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam]
Azam FC v Tanzania Prisons [Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam]
Jumamosi Desemba 31
Mwadui FC v Kagera Sugar [Mwadui Complex, Mwadui]
African Lyon v JKT Ruvu [Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam]
Mbeya City v Mbao FC [Sokoine, Mbeya]
Jumapili Januari 1
Toto African v Stand United [CCM Kirumba, Mwanza]
Tuesday, December 27
LIGI KUU KUENDELEA KESHO TENA,ANGALIA HAPA RATIBA ZOTE HADI MWEZI JANUARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment