BARCELONA WAMEWEKA REKODI MPYA - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Wednesday, December 7

BARCELONA WAMEWEKA REKODI MPYA

Image result for fc barcelona
KLABU ya Barcelona jana imeweka historia mpya ya kuwa timu ya kwanza kucheza pasi nyingi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya jana.
Wakiwa tayari wameshafuzu wakiwa vinara w akundi C, Barcelona walishinda mabao 4-0 dhidi ya Borussia Monchengladbach, mabao yaliyofungwa na Lionel Messi na Arda Turan aliyefunga hat-trick.
Katika mchezo huo Barcelona walicheza pasi 993 ikiwa ni nyingi zaidi kuliko timu yeyote toka rekodi hizo zilipoanza kutunzwa katika msimu wa 2003-2004.

Mapema msimu huu, kipa wa Barcelona Marc-Adre ter Stegen aliweka rekodi mpya katika La Liga baada ya kutoa pasi zilizokamilika 51 kati ya 62 alizopiga dhidi ya Athletic Bilbao.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here