Tabia ya Tump akikupa Mkono - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Thursday, June 1

Tabia ya Tump akikupa Mkono



Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron amekiri kuwa, mkono wa nguvu aliompa Rais Donald Trump katika mkutano wa NATO mjini Brussels siku ya Alhamisi, ulikusudiwa kuwa hivyo.

Bwana Macron aliliambia gazeti moja la Ufaransa, alitaka kuonesha kuwa Ufaransa haitoridhia vitu vidogo hata kama havina maana.
Wadadaisi wanasema Rais Trump anapompa mtu mkono, ana tabia ya kumvuta yule mtu kwake, kuonesha nani anamshinda mwenzake kwa nguvu na hadhi.

Viongozi hao walikutana mjini Brussels kabla ya kufanyika mkutano wa NATO


Wakatai wawili hao wakisalimiana kwa sekunde kadha bwana Macron na Trump waliangaliana macho kwa macho kwa muda hadi pale Trump alijaribu kuangalia kando

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here