Kigj Makasi, Mchezaji anayeongoza kibongobongo kuwa na moyo wa kujituma vilivyo awapo uwanjani, ameamua kuivia beji ya ukepteni wa Ndanda Fc na kuelekea katikati mwa nchi ya Tanzania kuungana na timu ya Ushindi SU.
Kigi Makasi amekuwa ndio mchezaji anayefunga ukurusa wa usajili ndani ya Singida United kwa msimu wa 2017/2018.



No comments:
Post a Comment