Gugai amefikishwa katika mahakama hiyo baada ya taarifa iliyotolewa siku chache zilizopita na Naibu Kamishna wa Takukuru, Brigedia John Mbungo, kwamba mtuhumiwa huyo alikuwa ametoroka. Mtuhumiwa huyo anatajwa kumiliki majumba na viwanja karibu kila mkoa nchini.
Gugai amefikishwa katika mahakama hiyo baada ya taarifa iliyotolewa siku chache zilizopita na Naibu Kamishna wa Takukuru, Brigedia John Mbungo, kwamba mtuhumiwa huyo alikuwa ametoroka. Mtuhumiwa huyo anatajwa kumiliki majumba na viwanja karibu kila mkoa nchini.



No comments:
Post a Comment