Breaking: Hatimaye Mhasibu mkuu wa Takukuru afikishwa mahakamani - MKWELITZ BLOG

Breaking

.

.

.

.

Thursday, November 16

Breaking: Hatimaye Mhasibu mkuu wa Takukuru afikishwa mahakamani


MHASIBU wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Godfrey Gugai,  anayedaiwa kumiliki mali nyingi kuliko kipato chake, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma zinazomkabili.

Gugai amefikishwa katika mahakama hiyo baada ya taarifa iliyotolewa siku chache zilizopita na Naibu Kamishna wa Takukuru, Brigedia John Mbungo,  kwamba mtuhumiwa huyo alikuwa ametoroka.  Mtuhumiwa huyo anatajwa kumiliki majumba na viwanja karibu kila mkoa nchini.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here