Barcelona watinga nusu fainali Kombe la Mfalme - MKWELITZ BLOG

.

demo-image-Recovered

.

Capture

Friday, January 26

Barcelona watinga nusu fainali Kombe la Mfalme


Lionel-Messi-Luis-Suarez-655506

Klabu ya Barcelona usiku wa kuamkia Leo imefanikiwa kutinga nusu fainali ya Kombe  la Mfalme maarufu kama Copa del Rey kwa ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Espanyol .

Magoli ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi na Luis Suarez ambapo kwa matokeo hayo Barca imefuzu kwa jumla ya tofauti ya goli 2-1 baada ya mechi ya kwanza Barcelona kufungwa goli 1-0.

Barcelona imeungana klabu ya Valencia, Sevilla na Leganes ambazo zote zimefuzu juzi

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad