Na Anael James Waziri_Tall
Ikiwa
zimebaki siku chache kuchezwa derby ya Manchester Klabu ya Manchester United
wanatarajiwa kumkosa Beki wao wa kushoto Luke Shaw kutokana na kuumia katika
mechi ya kimataifa dhidi ya Slovekia.
Lakini
upande wa Manchester City, STRAIKA wao Sergio Aguero ataikosa Dabi ya
Manchester Jumamosi Septemba 10 dhidi ya Mahasimu wao hao wakubwa
Uwanjani Old Trafford baada ya kufungiwa Mechi 3.
Siku ya Ijumaa iliyopita,Jopo Huru la Ligi Kuu
England, EPL, lilimkuta ana hatia ya Uchezaji wa Fujo kwa kumpiga Kipepsi Beki
wa Beki wa West Ham Winston Reid na kutoa Adhabu hiyo licha ya Klabu yake
kukataa Mashitaka hayo.
No comments:
Post a Comment