Na Anael James
Ni maneno ya mshambuliaji wa
Manchester United Zlatan Ibrahmovic "Cadabra" zikiwa zimebaki siku
sita tu pale itakapopigwa DARBY ya MANCHESTER.
Manchester UNITED wao wamepata pigo
baada ya kiungo mshambuliaji HENRICK MIKHITAYRIAN kuumia katika mechi na timu
yake ya taifa hapo juzi,lakini inasemekana kwamba hajaumia sana hivyo kuna
uwezekano wa kuwepo katika mechi hiyo.
United watakao ongozwa na nahodha wao
Wayne Rooney wakiwa wameshinda mechi zote tatu kwa jumla ya magoli Sita
watashuka dimbani kusaka pointi tatu muhimu dhidi ya City chini na kocha wao
Jose Mourinho.
Hata hivyo Kocha wa manchester united
Jose Mourinho amesema kwake ushindi upo kama kawaida.
No comments:
Post a Comment