Na Anael James
Ndivyo waweza kusema kwa muda huu kwa kuw mchezo wa TAIFA
STARS dhidi ya NIGERIA yamebaki masaa tu.
Mchezo huo unaotarajiwa kupigwa
majira ya saa moja usiku kwa saa za Afrika mashariki.
Timu ya TANZANIA itakayotarajiwa
kuongozwa na nyota wake kutoka klabu ya KRC GENK ya Ubelgiji MBWANA SAMMATA
aliye katika ubora mzuri sana akiwa yupo kileleni kwenye list ya wafungaji
katika ligi ya Ubelgiji,
Mbali na hivyo mshambuliaji
machachari wa LEICESTER CITY aliyesajiliw msimu huu akitokea CSKA MOSCOW ya
Urusi AHMED MUSA ambaye yupo katika kikosi cha NIGERIA watapambana kuonyeshana
ubabe kwakuwa wote wapo katika ubora mzuri katika timu zao.
No comments:
Post a Comment