Na Anael
James
Mshambuliaji
wa Manchester City Iheancho amepeleka maumivu Stars baada ya kupiga msumari wa
moto mnamo dak ya 78 ya mchezo huo uliomalzika hivi punde.
Taifa stars
ikicheza juu ya kiwango ikiokoa michomo ya Washambuliaji kama Ahmed Mussa,Mikel
Obi na wengineo kupitia kipa wao Aishi Manula aliyefanya kazi kubwa uwanjani
kwa dakika zote za mchezo huo.
Ni lazima
Taifa Stars wajilaumu ni kwanini wameshindwa kutumia baadhi ya nafasi
walizopata dhidi ya wapinzani.
Tangu mwanzo
wa mchezo hadi mwisho wa mchezo Mwamuzi anapuliza kipenga chake Nigeria 1 Taifa
Stars 0.
No comments:
Post a Comment