Na Mustafa Ismail
Watu kumi
wauwawa na wengine saba wajeruhiwa katika ajali baada ya basi walilokuwa
wakisafiria kutoka mwanza kuelekea mbeya kuhusika katika ajali ya kugongana na
daladala
Ajali hiyo
imetokea mapema hii leo majira ya saa
kumi na mbili na nusu asubuhi katika kijiji cha ihungumwa wilayani kwimba
Kamanda wa
polisi Ahmed mtwangi amethibitisha tukio hilo “Ajali imetokea majira ya saa kumi
na mbili asubuhi katika kijiji cha Ihugumwa wilaya ya kwimba ajali imehusisha
basi la kampuni ya super shem ambayo iligongana na Toyota hiace”.Alisema RPC
Hata hivyo kamanda huyo hakutoa sababu ya ajali
No comments:
Post a Comment