Na Ebdo Classic
1. Haitaji
leseni ya gari, huendesha bila leseni
2.Husafiri
bila passport nje ya nchi
3.Huwa anasherehekea siku ya kuzaliwa mara
mbili, ile ya kweli 21 april na jumamosi ya jully
4. Ana
mtunga mashairi wake maalumu.
5.Ana ATM
mashine yake binafsi ya kutoa ela
6.Bila
ruhusa yake hakuna muswada utapitishwa kuwa sheria
7. Ana uwezo
wa kutolipa kodi
8.Ana uwezo
wa kumuonya waziri yoyote, na hata kumwajibisha
9. Ni malkia
wa Australia pia
10. Ukiacha
ukuu wake katika UK
pia anaongoza nchi zifuatazo
pia anaongoza nchi zifuatazo
Australia
Antigua and
Barbuda,
the Bahamas,
Barbados,
Belize,
Canada,
Grenada,
Jamaica,
New Zealand,
Papua
New Guinea,
Saint Kitts
and Nevis,
Saint Lucia,
Saint Vincent
Grenadines,
Solomon Islands
Tuvalu.
Antigua and
Barbuda,
the Bahamas,
Barbados,
Belize,
Canada,
Grenada,
Jamaica,
New Zealand,
Papua
New Guinea,
Saint Kitts
and Nevis,
Saint Lucia,
Saint Vincent
Grenadines,
Solomon Islands
Tuvalu.
11.Ni
mwenyekiti wa kanisa la Anglikana
12. Ana
uwezo wa kuivunja serikali ya Australia
13. Anakinga
ya kutoshitakiwa
14.
Anamiliki ndege aina ya swans, kongoro katika mto thames
15. Anauwezo
wa kumteuwa spika kwa amri yake
No comments:
Post a Comment