Na Anael James Waziri_Tall
NYOTA wa zamani wa
kimataifa wa Brazil na klabu za Barcelona na AC Milan, Ronaldinho
amebainisha nia yake ya kutaka kutundika daruga zake baada ya kupita
miaka 18 akisakata kabumbu barani Ulaya na Amerika Kusini.
Mkongwe huyo
mwenye umri wa miaka 36, ni mmoja kati ya wachezaji wachache kuwahi
kunyakuwa mataji ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na lile la Copa Libertadores
na pia amewahi kutwaa Kombe la Dunia akiwa na Brazil mwaka 2002.
Lakini
kushindwa kwake kutulia katika klabu moja toka alipoondoka Atletico
Mineiro mwaka 2014 kunamfanya kufikiri kuwa wakati wake wa kustaafu
umefika.
Akizungumza na wanahabri jijini New York, Ronaldinho amesema
kwasasa ameshakuwa mtu mzima na sio Ronaldinho yule aliyekuwa na miaka
26 waliyemzoea. Nyota huyo alindelea kudai kuwa anadhani wakati wake wa
kustaafu umefika na atafanya hivyo baada ya kucheza kwa kipindi cha
mwaka mmoja zaidi
Thursday, September 8
Home
Unlabelled
RONALDINHO KUSTAAFU SOKA RASMI
RONALDINHO KUSTAAFU SOKA RASMI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment