Na Salum Aboud
Marufuku waloowekewa wapenzi wa jinsia moja kutoa damu
Ireland Kaskazini inatarajiwa kuondolewa siku ya Alhamisi.juma hili
Hatua hiyo inamaanisha kwamba wanaume ambao walifanya
mapenzi na wanaume wenzao katika kipindi ch miezi 12 iliopita watakuwa huru
kutoa damu iwapo wataafikia vigezo vya kutoa damu vinavyohitajika.
Mabadiliko hayo ya sera yalitangazwa na waziri wa afya
Michelle O'neill mnamo mwezi Juni.
Mpango huo sasa unaileta pamoja Ireland Kaskazini na mataifa
kama vile Uingereza,Uskochi na Wales.
Hatua hiyo inamaanisha kwamba wapenzi wa jinsia moja wanaweza
kutoa damu iwapo watakuwa walifanya mapenzi katika kipindi cha miezi kumi na
mbili iliopita
mapenzi ya jinsia moja yamekuwa yakipigwa vita katika baadhi ya nchi huku nchi nyingi nyingi zikiwa za barani afrika.
japo juhudi za viongozi wa dini kulipingwa swala hilo hazijafua dafu kwa madai kuwa kuna uhuru wa kufanya hivyo
.
mpira upo kwako kuangalia ipi njia sahihi.
mapenzi ya jinsia moja yamekuwa yakipigwa vita katika baadhi ya nchi huku nchi nyingi nyingi zikiwa za barani afrika.
japo juhudi za viongozi wa dini kulipingwa swala hilo hazijafua dafu kwa madai kuwa kuna uhuru wa kufanya hivyo
.
mpira upo kwako kuangalia ipi njia sahihi.
No comments:
Post a Comment