Uongozi wa
Simba umewashusha presha mashabiki wake baada ya kumsainisha tena beki wake
Mohamed Hussein Zimbwe.
Zimbwe
maarufu kama Tshabalala amesaini mkataba wa miaka miwili baada ya makubaliano
yaliyofanyika wiki moja na nusu iliyopita.
Simba
ilikubaliana na Zimbwe mbele ya baba yake mzazi na meneja wake, Herry Mzozo na
leo ametia saini mbele ya Rais wa Simba, Evans Aveva.
No comments:
Post a Comment